Kocha wa Manchester United Ruben Amorim anasema ana matumaini ya kupata muda wa kuonyesha jinsi mfumo wake utakavyobadilika, lakini anasisitiza hata Papa hataweza kumfanya abadilishe mfumo…
Browsing: KIMATAIFA
Jina la kocha wa zamani wa Chelsea, Jose Mourinho linatajwa huenda likarejea kwenye Ligi ya Mabingwa Ulaya wakati huu ambapo mazungumzo yanaendelea ili akinoe kikosi cha…
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anasema mazungumzo ya kandarasi za Bukayo Saka na William Saliba yanakwenda vizuri. Wachezaji hao wawili muhimu wa Arsenal mikataba yao inategemewa…
Pep Guardiola amepinga madai ya kocha wa Liverpool Arne Slot kwamba mchezaji wake mpya Alexander Isak ya kwamba ndiye mshambuliaji bora zaidi duniani, huku akisema anamuweka…
Mchezaji wa zamani Nigeria Mikêl Obi ameunga mkono suala la nyota wa zamani wa taifa hilo Jay Jay Okocha kuhitaji kuwa Rais wa shirikisho la soka…
Memphis Depay amekuwa rasmi mfungaji bora wa muda wote wa Uholanzi. Alifikia hatua hii muhimu wiki hii Septemba 7, 2025, wakati wa mechi ya kufuzu kwa…
Je ni nani mchezaji wako bora kwenye wafungaji bora timu za Taifa hapa Afrika. Wachezaji kibao wanaendelea kuweka rekodi zao huku wengine wakiendelea kuzifukuzia rekodi hizo.…
Timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ imeendelea kuweka hai matumaini ya kufuzu kombe la Dunia 2026 (WC 2026) baada ya kushinda mechi yake ya pili…
Kinda wa Klabu ya Ajax, Aaron Bouwman anaripotiwa kuvivutia vilabu vikubwa duniani. Kwa mujibu wa taarifa, kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 anafuatiliwa na Chelsea,…
Barcelona wako tayari kuingia kwenye kinyang’anyiro cha kumnunua nahodha wa Crystal Palace Marc Guehi ambaye pia anawaniwa na Liverpool pamoja na Real Madrid. Guehi mwenye umri…