Browsing: TETESI ZA SOKA

Tottenham Hotspur wamemfanya winga wa Everton, Iliman Ndiaye, 25, kuwa mchezaji anayelengwa zaidi, lakini Newcastle United, Juventus, AC Milan na Atletico Madrid pia wanamfuatilia mchezaji huyo.…

Klabu ya Manchester United imeripotiwa kumtazama kiungo wa Real Madrid Eduardo Camavinga kuwa mbadala kama watamkosa Carlos Baleba wa Brighton wanayemtazama zaidi kama chaguo la kwanza.…

“Tulipokea ofa nyingi sana za hapa Afrika kusini kutoka kwa vilabu kama Kaizer Chiefs,Orlando Pirates na vingine vingi lakini vya nje ya Afrika kusini vikihitaji huduma…

Manchester United wanapanga mpango wa pauni milioni 50 kumnunua kiungo wa kati wa Sporting na Denmark Morten Hjulmand, 26, iwapo watamkosa mchezaji wa kimataifa wa Cameroon…