UONGOZI wa klabu ya Yanga chini ya Rais wake, Hersi Said, umeonekana kumuweka katika wakati mgumu Kocha Mkuu, Pedro Goncalves, baada ya kumsisitiza kuwapa nafasi baadhi…
Browsing: KITAIFA
Mshambuliaji wa klabu ya Simba Elie Mpanzu amefunguka sababu iliyomfanya aongeze mkataba wa kuitumikia klabu yake ya sasa akiweka wazi ni kutokana na upendo alioupata kwa…
UONGOZI wa klabu ya Simba umeweka wazi kuwa uamuzi wa kumuongezea mkataba kiungo Elie Mpanzu umetokana na tathmini ya kina ya benchi la ufundi, iliyothibitisha umuhimu…
KIPA namba moja wa Yanga, Djigui Diarra, ameendelea kuthibitisha ubora wake msimu huu wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuongoza orodha ya makipa wenye clean sheets…
Klabu ya Yanga, imetangaza kumrejesha kocha Abdihamid Moalin kuwa kocha Msaidizi chini ya Kocha Mkuu Pedro Gonçalves hatua ambayo klabu hiyo imeeleza kuwa imalenga kutatua changamoto…
FIFA imepitisha sheria kadhaa mpya za Kombe la Dunia la 2026 zinazolenga kupunguza upotevu wa muda na kuboresha maamuzi. • Wachezaji waliobadilishwa lazima watoke nje ya…
Mwamuzi Katanga Hussein kutoka Tabora amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kubainika kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira wa miguu. Adhabu hiyo inatokana…
Shabiki maarufu wa Yanga, Carlos Leonard Mayangura, amefungiwa kwa muda wa miezi 12 kufuatia kuhusika katika tukio la uharibifu wa mali katika dimba la Uwanja wa…
Mwamuzi Ally Mnyupe kutoka Morogoro amefungiwa kuchezesha mechi kwa mizunguko mitatu (3) baada ya kushindwa kutafsiri ipasavyo sheria za mpira wa miguu katika mchezo kati ya…
Mabingwa wa Afrika, Senegal wamepokonywa rasmi taji la Africa Cup of Nations miezi miwili baada ya sherehe kubwa za ushindi, kufuatia uamuzi wa kushangaza wa Shirikisho…