HomeKIMATAIFAARTETA: BUKAYO SAKA NA SALIBA HAWATAKI KUONDOKA ARSENAL

ARTETA: BUKAYO SAKA NA SALIBA HAWATAKI KUONDOKA ARSENAL

Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anasema mazungumzo ya kandarasi za Bukayo Saka na William Saliba yanakwenda vizuri.

Wachezaji hao wawili muhimu wa Arsenal mikataba yao inategemewa kutamatika 2027, na sasa Washika Bunduki hao wa jiji la London wapo kwenye majadiliano mazito na wachezaji hao ili waweze kuwaongezea mikataba.

“Nadhani jambo zuri ni kwamba wachezaji wanataka kubaki hapa na wanataka kuwa sehemu kubwa ya historia ya klabu hii katika miaka michache ijayo na hilo ni jambo jema.” alisema Arteta

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE