Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limethibitisha rasmi kuwa mashindano ya kihistoria ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ya mwaka 2027, maarufu kama “Pamoja…
Browsing: KIMATAIFA
Amesema mchezaji kylian Mbappe 🗣“Kama ningelazimika kuchagua kati ya nchi ya baba yangu, Cameroon, au nchi ya mama yangu, Algeria, ningesema nilikulia zaidi katika utamaduni wa…
Inter Miami wanapanga kumsajili kiungo wa Manchester City Bernardo Silva. Kulingana na TyC Sports, klabu hiyo ya Marekani inatumai kumnasa kwa uhamisho wa bila malipo msimu…
Kiungo nyota wa zamani wa Ufaransa, Zinedine Zidane, amekubali rasmi kurithi mikoba ya Didier Deschamps kama Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Ufaransa baada ya…
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka la Senegal Abdoulaye Sow ameweka wazi msimamo wa Taifa lake la Senegal kuhusiana na maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Richarlison, ameibuka shujaa wa Tottenham Hotspur baada ya kufunga bao la dakika za lala salama na kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu…
West Ham United wamewalazimisha Manchester City kwa sare ya 1–1 katika mchezo wa Premier League uliokuwa na ushindani mkubwa. City walitangulia kufunga kupitia Bernardo Silva dakika…
Kocha mkuu wa Chelsea FC, Liam Rosenior, amesema klabu hiyo “imepata mchezaji bora zaidi duniani katika nafasi yake” baada ya beki wa kulia Reece James kusaini…
Ulimwengu wa soka umeshtushwa na ripoti zinazodai kuwa nyota wa kimataifa wa Canada, Alphonso Davies, anafikiria kuachana na soka la ushindan. Beki huyo mwenye umri wa…
Mgombea urais wa Barcelona, Joan Laporta, amefunguka kuhusu kauli zilizotolewa na Xavi Hernández katika mahojiano yake na La Vanguardia akisema Xavi anaumizwa na mafanikio ya Hans…