Chelsea FC wanaweza kufikiria kumuachia Cole Palmer endapo ofa kubwa ya takribani £130M (karibu Tsh bilioni 410+) itawasilishwa majira haya ya joto.Kwa sasa, Real Madrid na…
Browsing: KIMATAIFA
Mambo yamezidi kuwa magumu kwa Real Madrid katika mbio za kuwania ubingwa wa La Liga, baada ya kupoteza alama muhimu kufuatia sare ya 1-1 dhidi ya…
Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini Misri (EFA) limewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana mwamuzi na wasaidizi wake waliohusika katika mchezo wa daraja la pili kati ya…
Nahodha wa Manchester City, Bernardo Silva (31), rasmi ameagwa na klabu hiyo kufuatia kumalizika kwa mkataba wake, akihitimisha safari yake ya kihistoria jijini Manchester. Silva, aliyejiunga…
Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limethibitisha rasmi kuwa mashindano ya kihistoria ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) ya mwaka 2027, maarufu kama “Pamoja…
Amesema mchezaji kylian Mbappe 🗣“Kama ningelazimika kuchagua kati ya nchi ya baba yangu, Cameroon, au nchi ya mama yangu, Algeria, ningesema nilikulia zaidi katika utamaduni wa…
Inter Miami wanapanga kumsajili kiungo wa Manchester City Bernardo Silva. Kulingana na TyC Sports, klabu hiyo ya Marekani inatumai kumnasa kwa uhamisho wa bila malipo msimu…
Kiungo nyota wa zamani wa Ufaransa, Zinedine Zidane, amekubali rasmi kurithi mikoba ya Didier Deschamps kama Kocha Mkuu wa timu ya taifa ya Ufaransa baada ya…
Katibu Mkuu wa Shirikisho la Soka la Senegal Abdoulaye Sow ameweka wazi msimamo wa Taifa lake la Senegal kuhusiana na maamuzi ya Kamati ya Rufaa ya…
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil, Richarlison, ameibuka shujaa wa Tottenham Hotspur baada ya kufunga bao la dakika za lala salama na kulazimisha sare ya 1-1 dhidi ya Liverpool katika mchezo wa Ligi Kuu…