LATEST ARTICLES

Kimataifa

Barcelona Yatakiwa Kulipa Pauni 26M Kumng’oa Rashford Manchester United

Barcelona Yatakiwa Kulipa Pauni 26M Kumng’oa Rashford Manchester United Manchester United imeweka wazi kuwa haitashusha ada ya Pauni 26 milioni iliyokubaliwa kwa ajili ya uhamisho...

Michael Carrick Achaguliwa Kocha Bora wa Mwezi Januari 2026

Kaimu Kocha Mkuu wa Manchester United, Michael Carrick, ameteuliwa kuwa Kocha Bora wa Mwezi Januari 2026 katika Ligi Kuu ya Soka England. Uchaguzi huu unatambua...

Tetesi za Usajili

SIMBA MBONI KUMALIZANA NA BEKI HUYU WA KAZI KUTOKA AL HILAL

Beki wa kimataifa wa Mauritania, Khadim Diaw (27), amekuwa lulu sokoni mwezi huu wa Januari 2026 baada ya kuvunja mkataba wake na klabu ya...

Stay Connected

16,985FansLike
2,458FollowersFollow
61,453SubscribersSubscribe

Latest Posts

Barcelona Yatakiwa Kulipa Pauni 26M Kumng’oa Rashford Manchester United

Barcelona Yatakiwa Kulipa Pauni 26M Kumng’oa Rashford Manchester United Manchester United imeweka wazi kuwa haitashusha ada ya Pauni 26 milioni iliyokubaliwa kwa ajili ya uhamisho...

Kitaifa

TUMEFUATA SHERIA, HAKUNA KURUKA HATUA. MANGUNGU

MWENYEKITI wa Simba, Muhtaza Mangungu, amesema uongozi wa klabu hiyo umepokea rasmi maboresho ya Katiba kutoka Serikalini na tayari umeanza kuyafanyia kazi kwa kuzingatia...

TFF Yafungua Zabuni ya Haki za Kipekee za Ubashiri Dabi ya Kariakoo

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza kuwa linatafuta kampuni moja kwa ajili ya haki za kipekee za ubashiri (exclusive betting rights) katika...

IBENGE: TUMEFANYA VIZURI MSIMU HUU, MSIMU UJAO TUTAWAONYESHA ZAIDI

Kocha mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge, amekiri kuwa timu yake ilionesha kiwango kizuri katika hatua ya makundi ya CAF Confederation Cup, licha ya...

DEPU VUA KINYAGO WEWE NI BALOTELI

Mshambuliaji wa kimataifa kutoka Angola, Depu, anaendelea kuthibitisha ubora wake ndani ya kikosi cha Young Africans SC kwa kuwa tegemeo muhimu la mabao tangu...

UKWELI KUHUSU ISHU YA PENATI YA NAMUNGO

BAADA ya wimbi la wachezaji wa Namungo kuzidi kukosa penalti katika mechi za Ligi Kuu Bara msimu huu, kocha wa kikosi hicho cha ‘Wauaji...

Most Popular