Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » KOCHA MAN U ASEMA HATA PAPA HAWEZI MFANYA ABADILI MFUMO
    KIMATAIFA

    KOCHA MAN U ASEMA HATA PAPA HAWEZI MFANYA ABADILI MFUMO

    ChikaoBy ChikaoSeptember 21, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    man u
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kocha wa Manchester United Ruben Amorim anasema ana matumaini ya kupata muda wa kuonyesha jinsi mfumo wake utakavyobadilika, lakini anasisitiza hata Papa hataweza kumfanya abadilishe mfumo wake.

    Mojawapo ya shutuma za kocha huyo Mreno ni kwamba ameng’ang’ana mno na mfumo wake wa 3-4-3 na anapaswa kubadilika.

    Hata hivyo kocha huyo mwenye umri wa miaka 40 alikiri kuwa ana wasiwasi na kile wachezaji watafikiria ikiwa ataamua kubadili mfumo.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 21 2025
    Next Article BARCELONA KUMNUNUA KANE KWA EURO MILIONI 50

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.