HomeKIMATAIFAKINDA WA AJAX AVITOA UDENDA VILABU VIKUBWA DUNIANI

KINDA WA AJAX AVITOA UDENDA VILABU VIKUBWA DUNIANI

Kinda wa Klabu ya Ajax, Aaron Bouwman anaripotiwa kuvivutia vilabu vikubwa duniani.

Kwa mujibu wa taarifa, kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 anafuatiliwa na Chelsea, Manchester United, Barcelona, ​​Liverpool na Manchester City.

Beki huyo wa kati alijiunga na Ajax mwaka 2018 na akacheza kwa mara ya kwanza Jong Ajax (timu ya pili ya Ajax) kwenye msimu wa 2023-24.

Baada ya kuwachezea mechi 15, kijana huyo ambaye ana baba Mholanzi na mama Mjamaika, amefuzu kwenye kikosi cha kwanza cha Ajax.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE