Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป YANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA
    KITAIFA

    YANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA

    ChikaoBy ChikaoJuly 22, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara msimu wa 2024/25, Yanga SC chini ya Kocha Mkuu, Miloud Hamdi wamekamilisha dili lao na kiungo kiraka Mudathir Yahya.

    Mudathir Yahya mkataba wake ulikuwa umeisha mara baada ya msimu kufika ukingoni alikuwa kwenye mazungumzo na mabosi wa timu hiyo kuhusu kuongeza mkataba wake.

    Ilikuwa inatajwa kuwa kiungo huyo alikuwa kwenye rada za Simba SC ambayo ilikuwa inafanya naye mazungumzo alipokuwa huru ili awe ndani ya kikosi chao.

    Julai 22 2025, Yanga SC wamemtambulisha rasmi Mudathir kuwa ameongeza mkataba wa miaka miwili kuwa ndani ya kikosi hicho.

    Ni 2025 mpaka 2027 Mudathir atakuwa kwenye majukumu yake katika kikosi cha Yanga SC kupambania kutimiza kazi ya kusaka ushindi kitaifa na kimataifa.

    Msimu wa 2024/25 Mudathir alicheza jumla ya mechi 26 akikomba dakika 1,775 alitengeneza pasi nne za mabao na kufunga mabao manne hivyo alihusika kwenye mabao 7 kati ya 83 yaliyofungwa na Yanga SC.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMTATHIMINI VIWANGO SIMBA ATOA ‘THANK YOU’
    Next Article HUYU HAPA KAPEWA MAJUKUMU YA USAJILI SIMBA SC, ASEMA MTULIE

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.