Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » TETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA
    KITAIFA

    TETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA

    ChikaoBy ChikaoJuly 20, 202511 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kapombe
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Shomari Kapombe anaripotiwa kuwa tayari amekubaliana na klabu ya Simba kuhusu kusaini mkataba mpya wa kuendelea kuwatumikia Wekundu wa Msimbazi, licha ya mkataba wake wa awali kumalizika rasmi Juni 30, 2025.

    Vyanzo vya kuaminika kutoka ndani ya klabu vinadai kuwa hakuna presha yoyote baina ya pande hizo mbili, na kwamba mkataba mpya upo tayari na utatiwa saini muda wowote kuanzia sasa.

    Kapombe, ambaye kwa sasa yupo kwenye mipango ya moja kwa moja ya kocha mkuu Fadlu Davids, anatajwa kuwa miongoni mwa wachezaji ambao kocha huyo anawategemea mno katika kikosi chake. Inadaiwa kuwa Davids alisisitiza asiondoke, jambo lililochangia kwa kiasi kikubwa maamuzi ya Kapombe kubaki klabuni.

    Kitetesi kingine kinachozidi kushika kasi ni kwamba beki huyo mwenye umri wa miaka 33 ana nafasi kubwa ya kuteuliwa kuwa nahodha mpya wa klabu kuelekea msimu ujao, akichukua mikoba ya Mohamed Hussein ‘Tshabalala’.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleUSIKIE MKWARA WA YANGA KUHUSU DIRISHA HILI LA USAJILI?
    Next Article ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Pingback: CV YA MOUSSA BALLA CONTE, MCHEZAJI MPYA WA YANGA SC 2025/2026 - SOKALEO

    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.