Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HUYU HAPA KAPEWA MAJUKUMU YA USAJILI SIMBA SC, ASEMA MTULIE
    KITAIFA

    HUYU HAPA KAPEWA MAJUKUMU YA USAJILI SIMBA SC, ASEMA MTULIE

    ChikaoBy ChikaoJuly 22, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    fadlu simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    WAWAKILISHI wa Tanzania kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika, Simba SC msimu wa 2025/26 wameweka wazi kuwa mpango kazi wa kufanya usajili upo chini ya Kocha Mkuu, Fadlu Davids.

    Ikumbukwe kwamba msimu wa 2023/24 Simba SC iligotea nafasi ya tatu kwenye msimamo ikapeperusha bendera kwenye Kombe la Shirikisho Afrika.

    Kwa msimu wa 2024/25 iligotea kuwa mshindi wa pili Kombe la Shirikisho Afrika na bingwa alikuwa ni RS Berkane.

    Kwa mujibu wa Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC Ahmed Ally ameweka wazi kuwa mpango mkubwa kwa msimu ujao ni kufanya vizuri zaidi na watafanya usajili makini.

    “Kwenye kufeli msimu uliopita ni sehemu ya matokeo kwa kuwa bado tunajenga timu hilo lieleweke na mashabiki wasikate tamaa wala wasiishiwe pawa. Kikubwa ni mshikamano na kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano.

    “Kwa msimu huu asilimia kubwa suala la usajili litakuwa mikononi mwa Kocha Mkuu, Fadlu Davids, yeye atasimamia kila kitu na viongozi watakamilisha mpango kazi.”

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA
    Next Article KIBU NAYE KUIPA ‘THANK YOU’ SIMBA?….WAMAREKANI WAZIDI KUDATA NAYE KILA SIKU

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.