Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป KAIZER CHEIF WAWEKA MZIGO KUMPATA AHOUA
    KITAIFA

    KAIZER CHEIF WAWEKA MZIGO KUMPATA AHOUA

    ChikaoBy ChikaoJune 7, 202511 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa Jean Ahoua kiungo mshambuliaji wa Simba SC chaguo la kwanza la Kocha Mkuu Fadlu Davids kwenye mechi za ushindani ndani ya msimu wa 2024/25 yupo kwenye rada za mabosi wa Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini.

    Ahoua ni anayevaa jezi namba 10 mgongoni ana uwezo kwenye kufunga na kutoa pasi za mabao akiingia kwenye orodha ya wakali wa mapigo huru ndani ya ligi msimu wa 2024/25.

    Katika mabao 15 aliyofunga mguu wake wenye nguvu ni ule wa kulia akiwa kafunga mabao 14 na kwa pigo la kichwa alifunga bao moja kwenye mchezo dhidi ya Pamba Jiji alipotumia pasi ya Ellie Mpanzu.

    Kwenye mchezo huo Ahoua alifunga hat trick yake ya kwanza akiwa na uzi wa Simba SC ambapo alichaguliwa kuwa mchezaji bora Simba SC iliposepa na pointi tatu mazima katika mchezo wa ligi.

    Taarifa zinaeleza kuwa mabosi kutoka Kaizer Chiefs ya Afrika Kusini wanamfuatilia kwa ukaribu kiungo huyo ambaye amehusika katika mabao 23 ndani ya ligi namba nne kwa ubora kati ya 63 yaliyofungwa na timu hiyo kwenye ligi namba nne kwa ubora Afrika.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleUNAHITAJI SAMSUNG A25?, BASHIRI NA MERIDIANBET
    Next Article GIFT FRED: BEKI WA YANGA APATA DILI NONO

    Related Posts

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    March 25, 2026

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Yahaya kingaz omari on June 25, 2025 4:39 pm

      muko pw sana kweny kutupa taarifa za kimichezo pig up san

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    TETESI: TIMU YA MESSI YAMFUKUZIA BERNARDO SILVA

    KOCHA WA YANGA HAELEWI, VIONGOZI WABADILISHA UELEKEO

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.