Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HIKI HAPA KIKOSI RASMI CHA SIMBA SC 2025/26
    KITAIFA

    HIKI HAPA KIKOSI RASMI CHA SIMBA SC 2025/26

    ChikaoBy ChikaoSeptember 11, 202512 Mins Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    kikosi rasmi cha simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kikosi Rasmi cha Simba Sc 2025/2026

    Wekundu wa Msimbazi Simba SC tayari wamekamilisha usajili wa wachezaji kutoka vilabu mbalimbali ili kuimarisha kikosi chao kuelekea msimu mpya wa 2025/2026. Msimu huu unatarajiwa kuanza kwa kishindo kupitia Kariakoo Derby, ambapo Simba SC watakutana na watani wao wa jadi Yanga SC katika fainali ya Ngao ya Jamii.

    Simba SC wamejipanga upya kwa kuunganisha wachezaji wenye uzoefu, vipaji vipya, pamoja na nyota waliobaki msimu uliopita, lengo likiwa ni kurejesha ubabe wao kwenye ligi kuu ya NBC na mashindano ya kimataifa ya CAF.

    Walinda Mlango (Goalkeepers)

    1. Moussa Camara
    2. Yakoub Suleiman Ali

    Mabeki (Defenders)

    1. Rushine De Reuck – Centre-Back
    2. Abdulrazack Hamza – Centre-Back
    3. Wilson Nangu – Centre-Back
    4. Chamou Karaboue – Centre-Back
    5. David Kameta – Right-Back
    6. Shomari Kapombe – Right-Back

    Viungo wa Kati (Midfielders)

    1. Yusuph Kagoma – Defensive Midfield
    2. Alassane Kanté – Central Midfield
    3. Naby Camara – Central Midfield
    4. Mzamiru Yassin – Central Midfield
    5. Hussein Semfuko – Central Midfield
    6. Neo Maema – Attacking Midfield
    7. Morice Abraham – Attacking Midfield
    8. Jean Charles Ahoua – Attacking Midfield
    9. Awesu Ally Awesu – Attacking Midfield

    Winga (Wingers)

    1. Denis Kibu – Left Winger
    2. Salehe Karabaka – Left Winger
    3. Mohammed Bajaber – Left Winger
    4. Joshua Mutale – Right Winger
    5. Valentino Mashaka – Right Winger
    6. Ladaki Chasambi – Right Winger
    7. Elie Mpanzu – Right Winger

    Washambuliaji (Forwards)

    1. Steven Mukwala – Centre-Forward
    2. Selemani Mwalimu – Centre-Forward
    3. Jonathan Sowah – Centre-Forward

    Simba SC wanaingia msimu WA 2025/2026 huu wakiwa na malengo makubwa ya kurejesha heshima yao katika soka la Tanzania na Afrika. Uwepo wa mastaa kama Steven Mukwala, Shomari Kapombe, pamoja na viungo wapya wenye ubora kama Neo Maema na Alassane Kanté unatarajiwa kuongeza nguvu na ubunifu ndani ya kikosi.

    Kwa upande wa mashabiki, matarajio ni kuona kikosi kipya kikiendana na kasi ya ushindani wa ligi na kuhakikisha Simba SC inapata matokeo bora dhidi ya wapinzani wao wa jadi na katika michuano ya CAF Champions League.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleKIUNGO MPYA YANGA SC AJIPA KAZI, YANGA DAY INANUKIA
    Next Article RATIBA YA NBC PREMIER LEAGUE 2025/2026 | LIGI KUU TANZANIA BARA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. GAMRAJ on September 18, 2025 6:45 pm

      Kikosi ni kikali sana cha simba na yanga pia

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.