Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MTATHIMINI VIWANGO SIMBA ATOA ‘THANK YOU’
    KITAIFA

    MTATHIMINI VIWANGO SIMBA ATOA ‘THANK YOU’

    ChikaoBy ChikaoJuly 21, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Aliyekuwa mtathimini viwango ‘Performance Analysist’ wa klabu ya Simba raia wa Zambia Culvin Mavunga ametangaza kuondoka ndani ya klabu hiyo baada ya misimu mitano aliyodumu ndani ya timu hiyo.

    Kupitia ukurasa wake wa instagram amewashukuru mashabiki na viongozi wa klabu hiyo kwa kipindi chote walichofanya kazi pamoja.

    “Ukurasa wangu na Simba SC imefika mwisho. Imekuwa misimu 5 ya kuvutia na timu. Tulishinda, tukashindwa na kutoka sare pamoja.

    “Pongezi zangu za dhati ziwaendee Mashabiki wa Simba, nyie watu wa muhimu, kwa Bodi na Uongozi wa Simba, asante kwa kila jambo. Kwa Benchi la Ufundi la Simba, upendo sana na nyinyi ni familia daima. Kwa Wachezaji wa Simba nawapenda sana familia. Kwa Kocha Fadlu, asante kwa mafunzo🙏🏾”

    “Nawatakia wote msimu wenye Mafanikio.Kurasa MPYA na Mwanzo Mpya unanisubiri.Endelea kubarikiwa 🙏🏾”Ameandika Mavunga.

     

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTIMU YA TAIFA YA KENYA YAJITOA KWENYE MASHINDANO YA CECAFA
    Next Article YANGA SC YAMALIZANA NA MUDATHIR YAHYA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.