Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » FADLU DAVIDS ATAJA NI WACHEZAJI GANI WATABAKI SIMBA
    KITAIFA

    FADLU DAVIDS ATAJA NI WACHEZAJI GANI WATABAKI SIMBA

    ChikaoBy ChikaoJuly 17, 202511 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    FADLU Davids, Kocha Mkuu wa Simba SC amekabidhiwa rungu la kufanya maamuzi kwa wachezaji ambao wanapaswa kuondoka katika kikosi hicho na wale ambao watabaki kwa msimu wa 2025/26.

    Miongoni mwa wachezaji ambao Fadlu amebainisha kwamba anahitaji wabaki inaelezwa ni beki Mohamed Hussen ambaye mkataba wake umeisha akiwa anatajwa kuwa katika rada za Yanga SC.

    Kocha huyo alifanya kikao na Rais wa Simba SC, Mo Dewji hivyo kuna uwezekano mkubwa akaendelea kuwa katika kikosi hcho kwa msimu mpya wa 2025/26.

    Muda mfupi walipokutana Mo aliandika namna hii: “Tulia. Tathmini. Panga upya. Nimefurahi kuwa na mazungumzo ya maana na Kocha Fadlu katika msimu wake wa kwanza, akiwa na kikosi kipya na benchi jipya la ufundi, ameiongoza Simba SC kufika fainali ya Kombe la Shirikisho la CAF.

    “Chini ya Kocha Fadlu Davids, Simba imefika fainali ya CAF Confederation Cup, fainali ya pili ya kimataifa katika historia ya klabu. Msimu huu ulikuwa wa kujenga timu. Na bado tukafika fainali, licha ya upinzani mkali. Simba haitazuilika msimu ujao.”

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleISHU YA AUCHO NA YANGA YAFIKIA HAPA KWA SASA
    Next Article LAMINE YAMAL KUSALIA BARCA MPAKA 2031, APEWA JEZI YA HESHIMA

    Related Posts

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    April 7, 2026
    View 1 Comment

    1 Comment

    1. Benard kayingo on July 17, 2025 12:35 pm

      Nataman kuona timu zinafanya usajili mzuri wenye hadhi ya FIFA ili tuongeze alama kwenye rank za CAF Kupitia timu zitakazoshirik mashindano ya kimataifa msimu ujao

      Reply
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.