Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป TETESI: NABI YUPO MBIONI KUIONA KLABU HII KUBWA NCHINI
    KITAIFA

    TETESI: NABI YUPO MBIONI KUIONA KLABU HII KUBWA NCHINI

    ChikaoBy ChikaoSeptember 30, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kocha Nasreddine Nabi amewasili Jijini Dar es Salaam leo asubuhi, hatua ambayo imezua tetesi kuwa yupo mbioni kutangazwa rasmi kuinoa moja ya timu kubwa nchini.

    Kwa sasa haijafahamika ni klabu ipi atajiunga nayo, lakini vyanzo vya karibu vinaeleza kuwa mazungumzo yako katika hatua za mwisho kabla ya kutangazwa rasmi.

    Mashabiki wanasubiri kwa hamu kujua ni timu gani itakayofanikiwa kumsajili kocha huyo mwenye rekodi nzuri kwenye soka la Afrika Mashariki.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMOURINHO ATANGAZA VITA KALI DHIDI YA CHELSEA LEO
    Next Article HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 1, 2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.