HomeKITAIFATETESI: NABI YUPO MBIONI KUIONA KLABU HII KUBWA NCHINI

TETESI: NABI YUPO MBIONI KUIONA KLABU HII KUBWA NCHINI

Kocha Nasreddine Nabi amewasili Jijini Dar es Salaam leo asubuhi, hatua ambayo imezua tetesi kuwa yupo mbioni kutangazwa rasmi kuinoa moja ya timu kubwa nchini.

Kwa sasa haijafahamika ni klabu ipi atajiunga nayo, lakini vyanzo vya karibu vinaeleza kuwa mazungumzo yako katika hatua za mwisho kabla ya kutangazwa rasmi.

Mashabiki wanasubiri kwa hamu kujua ni timu gani itakayofanikiwa kumsajili kocha huyo mwenye rekodi nzuri kwenye soka la Afrika Mashariki.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE