Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » KIUNGO YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS
    KITAIFA

    KIUNGO YANGA SC KUIBUKIA SINGIDA BLACK STARS

    ChikaoBy ChikaoJuly 30, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    yanga
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    INAELEZWA kuwa nyota wa zamani wa Yanga SC, Clatous Chama anatajwa kuwa kwenye rada za mabosi wa Singida, Singida Black Stars inayotumia Uwanja wa Liti.

    Chama aliwahi kucheza Simba SC kabla ya kuibukia ndani ya Yanga SC msimu wa 2024/25 akiwa mchezaji huru na hakuwa na nafasi kikosi cha kwanza kutokana na uwepo wa Aziz KI.

    Taarifa zinaeleza kuwa Yanga SC hawana mpango na Chama mara baada ya mkataba wake kuisha hivyo atasajiliwa na Singida Black Stars akiwa mchezaji huru.

    Chama alikuwa anatajwa kuwa kwenye rada za Azam FC na Zesco United ambapo huko alikuwa anafanya mazoezi licha ya kwamba hajasaini.

    Singida Black Stars kwa sasa inanolewa na Kocha Mkuu, Miguel Gamondi ambaye aliwahi kufanya kazi na Chama katika kikosi cha Yanga SC.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleSOKA LA LAMINE YAMAL, CHACHU YA KUWAKUTANISHA WAZAZI
    Next Article BAADA YA CHE MALONE KUAGWA SIMBA SC, HUYU NDIO MRITHI WAKE

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.