VINARA wa Ligi Kuu ya England, Arsenal hawatanii kabisa msimu huu, wanaendelea kukusanya pointi kwenye kila mchezo wanaocheza na kuwakimbia wale wanaowafukuza ambao ni Manchester City.…
Browsing: KIMATAIFA
Kocha wa zamani wa Simba SC, Abdelhak Benchika, anaendelea kuonyesha umahiri wake nchini Algeria baada ya kuiongoza klabu yake ya USM Alger kukaa kileleni mwa Kundi…
Mke wa zamani wa nyota wa PSG, Achraf Hakimi, Hiba Abouk, amedaiwa kuomba msamaha na kueleza kuzungushwa na majuto kwa kuomba talaka. Vyanzo vya karibu vinavyomfahamu mwanamitindo…
Manchester United wanaripotiwa kujaribu kumrejesha James Garner Old Trafford ikiwa ni miaka mitatu tu baada ya kumuuza Everton. Kikosi cha Amorim kimekuwa na uhitaji wa kiungo…
Mshambuliaji wa Liverpool Alexander Isak anatarajiwa kukaa nje kwa angalau miezi miwili baada ya kuvunjika mguu na kufanyiwa upasuaji, meneja wa klabu hiyo ya Ligi Kuu…
Wachezaji wa Manchester City watakuwa na siku tatu nje ya uwanja ili kufurahia likizo ya Krismasi lakini meneja Pep Guardiola anasema yeyote atakayefanya makosa ya kiwango…
Nigeria vs Tanzania ni mchezo mkali unaosubiriwa kwa shauku kwenye mashindano ya AFCON 2025 ikiwa ni hatua ya makundi nchini Morocco. Tayari mchezo wa ufunguzi ulishachezwa…
Ni nchi gani iliyoshinda Afcon 2024? Ivory Coast imeibuka mshindi wa Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2024 baada ya ushindi wa kusisimua dhidi ya timu…
Pesa Atakazolipwa Bingwa wa AFCON 2025 Rais wa Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), Dk Patrice Motsepe, ametangaza ongezeko kubwa la fedha za zawadi kwa bingwa…
Haaland Aipiku Rekodi ya Magoli ya Cristiano Ronaldo EPL Mshambuliaji wa Manchester City, Erling Haaland, ameendelea kuandika historia katika Ligi Kuu ya England baada ya kufikisha…