Browsing: KIMATAIFA

VINARA wa Ligi Kuu ya England, Arsenal hawatanii kabisa msimu huu, wanaendelea kukusanya pointi kwenye kila mchezo wanaocheza na kuwakimbia wale wanaowafukuza ambao ni Manchester City.…

Kocha wa zamani wa Simba SC, Abdelhak Benchika, anaendelea kuonyesha umahiri wake nchini Algeria baada ya kuiongoza klabu yake ya USM Alger kukaa kileleni mwa Kundi…

Wachezaji wa Manchester City watakuwa na siku tatu nje ya uwanja ili kufurahia likizo ya Krismasi lakini meneja Pep Guardiola anasema yeyote atakayefanya makosa ya kiwango…

Nigeria vs Tanzania ni mchezo mkali unaosubiriwa kwa shauku kwenye mashindano ya AFCON 2025 ikiwa ni hatua ya makundi nchini Morocco. Tayari mchezo wa ufunguzi ulishachezwa…