Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA
    KITAIFA

    SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA

    ChikaoBy ChikaoJune 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    SIMBA SC inayonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids raia wa Afrika Kusini ipo katika harakati za kumsajili kipa wa JKT Tanzania, Yakoub Seleman katika msimu ujao.

    Kipa namba moja kwa sasa ndani ya Simba SC ni Moussa Camara. Ni hati safi 19 amekusanya msimu wa 2024/25 akiwa kipa namba moja mwenye hati nyingi ndani ya ligi namba nne kwa ubora.

    Inaelezwa Simba SC wanamtaka kipa huyo haraka na hivi sasa wapo katika harakati za mwishoni za kimyakimya za kumpata Yacoub.

    Simba SC kama watampata kipa huyo, basi wataachana na Hussein Abel katika msimu ujao ambaye ni kipa namba tatu wa timu hiyo iliyogotea nafasi ya pili msimu wa 2024/25.

    Ipo wazi kwamba mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ni Yanga SC ambao kipa wao namba moja ni Djigui Diarra chaguo la kwanza la Miloud Hamdi.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC
    Next Article YANGA YATANGAZA KULITAKA KOMBE LA CRDB

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.