Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC
    KITAIFA

    MBEBA MIKOBA YA CHAMA KWENYE MTEGO SIMBA SC

    ChikaoBy ChikaoJune 29, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    KIUNGO wa Simba SC, Deborah Mavambo ambaye ni ingizo jipya katika kikosi hicho kwa msimu uliogota mwisho wa 2024/25 yupo kwenye mtego ndani ya kikosi hicho kutokana na kiwango chake kuporomoka mwanzo mwisho.

    Nyota huyo kwenye mechi za awali alianza kuonyesha ubora wake lakini kadri siku zilivyokuwa zinazidi uwezo wake ulikuwa unaporomoka. Atakumbukwa kwenye mchezo wa Simba Day, jina lake liliimbwa kutokana na kiwango bora katika matumizi ya nguvu kwenye mguu wake wa kulia.

    Ni jezi namba 17 alikabidhiwa ambayo ilikuwa inavaliwa na kiungo Clatous Chama ambaye yupo ndani ya Yanga SC kwa msimu wa 2024/25. Mavambo alikuwa anapewa nafasi kufanya vizuri kitaifa na kimataifa mwisho akajenga ushikaji na benchi.

    Mchezo wa mwisho wa Kariakoo Dabi, dhidi ya Yanga SC Juni 25 2025 hakupata nafasi yakucheza mchezo huo jambo ambalo linaonyesha kuwa ni mtego kwake.

    Taarifa zinaeleza kuwa kuna wachezaji ambao watakutana na Thank You ndani ya kikosi cha Simba SC kutokana na kushindwa kuwa katika ubora huku jina la Mavambo likitajwa.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleOFISA HABARI WA AZAM FC ANALITAKA JIMBO
    Next Article SIMBA SC YASAKA KIPA KUMPA CHANGAMOTO CAMARA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.