Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป TAREHE HII YATANGAZWA MECHI ZA LIGI KUU KUREJEA
    KITAIFA

    TAREHE HII YATANGAZWA MECHI ZA LIGI KUU KUREJEA

    ChikaoBy ChikaoNovember 4, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara TPLB imetangaza rasmi kurejea kwa michezo ya Ligi Kuu tarehe 08 mwezi Novemba, 2025 baada ya kusitishwa siku kadhaa zilizopita kutokana na sababu za kiusalama.

    Novemba 8 itachezwa michezo miwili ambapo Pamba Jiji atamkaribisha Singida BS CCM Kirumba saa 10 jioni na saa 01 Jioni utachezwa mchezo wa pili kwenye dimb la Meja Isamuhyo kati ya JKT Tanzania dhidi ya Simba.

    Wananchi watashuka dimbani KMC Complex Novemba 9 kucheza dhidi ya KMC saa kumi jioni wakati Azam FC akiwa mgeni wa Namungo Majaliwa Stadium saa 1 Jioni.

    TFF
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleGAMONDI KUINOA TAIFA STARS KUELEKEA AFCON 2025
    Next Article SIMBA KUANZIA NYUMBAN MECHI YA KIMATAIFA, DHIDI YA PETRO DE LUANDA

    Related Posts

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    April 8, 2026

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    April 8, 2026

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    April 7, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    SIMBA YAANZA USAJILI NA MIPANGO YA UWANJA MPYA BUNJU

    SURE BOY HATIMAE AOMBA KUSEPA YANGA

    HATIMAE MIGUU IMEANZA KUMSALITI CHAMA

    AFCON EAST AFRICA TAREHE YATANGAZWA

    MPANZU NA FEI TOTO WAKUTANA USO KWA USO KWENYE VITA YA ASSIST

    IBENGE ATANGAZA VITA JUU YA KIKOSI CHA SIMBA

    MBAPPE: NITACHEZEA TIMU YA TAIFA YA CAMEROON

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.