Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » GAMONDI KUINOA TAIFA STARS KUELEKEA AFCON 2025
    KITAIFA

    GAMONDI KUINOA TAIFA STARS KUELEKEA AFCON 2025

    ChikaoBy ChikaoNovember 4, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Gamondi
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limemtangaza Kocha wa Singida Black Stars, Miguel Angel Gamondi kutoka Argentina, kuwa Kaimu Kocha Mkuu wa Taifa Stars. Uteuzi huu unakuja baada ya aliyekuwa kocha wa timu hiyo, Hemed Suleiman “Morocco”, kuachana na TFF kwa makubaliano ya pande zote mbili.

    Kwa mujibu wa taarifa rasmi iliyotolewa na TFF leo, Novemba 4, 2025, mazungumzo kati ya TFF na uongozi wa Singida Black Stars tayari yamekamilika, na Gamondi amekubali kuchukua majukumu hayo mapya.

    Kocha huyo ambaye aliwahi pia kuinoa Young Africans SC (Yanga), anatarajiwa kuiongoza Taifa Stars kwenye michuano ya Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) itakayofanyika nchini Morocco kuanzia Desemba mwaka huu.

    TFF
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHISTORIA IMEANDIKWA BAADA YA TIMU NNE KUTOKA TANZANIA KUWA KIMATAIFA
    Next Article TAREHE HII YATANGAZWA MECHI ZA LIGI KUU KUREJEA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.