Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป WAJUE WAPINZANI WA SIMBA MECHI INAYOFUATA CAF
    KITAIFA

    WAJUE WAPINZANI WA SIMBA MECHI INAYOFUATA CAF

    ChikaoBy ChikaoSeptember 30, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Simba Baada ya Kumaliza Mechi ya awali ya CAF Champions League na kumaliza wakiwa na ushindi wa magoli mawili Moja la Ugenini na lingine Nyumbani, Kwa sasa Mchezo unaofwata ni dhidi ya Nsingizini Hotspurs kutokea Eswatini, Mchezo ambao unatarajiwa kuchezwa 17 Oktoba 2025 katika mkondo wa kwanza, Simba wakianzia ugenini.

    Nsingizini Hotspur wameingia katika hatua hii baada ya kumuondoa Simba Bhora kutokea Zimbwabe kwa mikwaju ya penati baada ya mechi zote mbili kumalizika kwa magoli sawa 1:1 ambapo mechi ya kwanza Nsingizini walianzia ugenini na wakapokea kichapo cha goli moja na mchezo wa arudiano wakiwa nyumbani walifunga goli moja ndio mchezo ukaenda katika matuta.

    TAZAMA UCHAMBUZI WOTE HAPA CHINI

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHAYA HAPA MAGAZETI YA LEO SEPTEMBA 30, 2025
    Next Article MOURINHO ATANGAZA VITA KALI DHIDI YA CHELSEA LEO

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.