Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HAZARD ANAAMINI MESSI NDIO MPIGA CHENGA ZAIDI KULIKO YEYE
    KIMATAIFA

    HAZARD ANAAMINI MESSI NDIO MPIGA CHENGA ZAIDI KULIKO YEYE

    ChikaoBy ChikaoSeptember 4, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Nyota wa zamani wa Chelsea na Real Madrid, Eden Hazard ametupilia mbali mastaa Cristiano Ronaldo, Lamine na Neymar huku akimtaja Lionel Messi kuwa ndiye mpiga chenga mkali kuliko yeye.

    Hazard alizungumza hayo katika video iliyorushwa kwenye akaunti ya X ya UEFA Champions League.

    Kwenye video hiyo mwanasoka huyo mstaafu aliombwa kutulia (kukaa kimya) hadi atakaposikia jina la mwanasoka, ambaye anaamini alikuwa mpiga chenga bora kuliko yeye.

    Katika orodha hiyo majina yalianza kama ifuatavyo; Desire Doue wa Paris Saint-Germain, Rafel Leao wa AC Milan, Khvicha Kvaratskhelia wa Paris Saint-Germain, na Raphinha wa Barcelona, lakini Hazard alikaa kimya.

    Uso wake ukashtuka kidogo baada ya kutajwa jina la Riyad Mahrez winga wa zamani wa Manchester City na jina la winga wa Real Madrid Vinicius Jr, lakini alikaa kimya.

    Hata baada ya kutajwa majina ya Christiano Ronaldo na Lamine Yamal aliendelea kukaa kimya.

    Lilipotajwa jina la Neymar alitafakari kidogo na kuendelea kukausha, hata hivyo mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 34 alivunja ukimya lilipotajwa jina la Messi.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleMANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA
    Next Article Paul Pogba rasmi kukiwasha ligi ya Mabingwa Ulaya.

    Related Posts

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    March 24, 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    March 20, 2026

    RICHARLISON SHUJAA WA TOTTENHAM VS LIVERPOOL, WAIPINGIZA MAKALI

    March 16, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.