Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » MANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA
    KITAIFA

    MANARA AFUATA UPAKO KWA MWAMPOSA

    ChikaoBy ChikaoSeptember 4, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    manara
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mgombea Udiwani Kata ya Kariakoo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Haji Manara, amekutuna na kufanya kikao na Mtumishi wa Mungu kutoka Kanisa la Arise and Shine International, Mtume Boniface Mwamposa leo, Septemba 3, 2025.

    Kikao hicho kimefanyika Jijini Dar es Salaam na kimekuwa na lengo la kuendeleza ushirikiano kati ya viongozi wa kisiasa na wa kidini, hasa katika masuala yahusuyo maendeleo ya Jamii na ustawi wa wananchi wa Kariakoo na Tanzania.

    Wiki iliyopita Manara alikutana na Mufti wa Tanzania, Sheikh Abubakar Bin Zubeir na Mjumbe wa Baraza la Maulamaa nchini, Sheikh Hassan Chizenga ambao walimuombea Dua.

    Manara amemshukuru Mtume Mwamposa kwa mapokezi na kwa kuonesha utayari wa kushirikiana katika kuleta mabadiliko chanya kwenye jamii.

    Mtume Mwamposa amepongeza juhudi za mgombea huyo na kuahidi kuendelea kushirikiana naye katika kuhakikisha ustawi na maendeleo ya wananchi, hasa kwa kuhakikisha jamii inakuwa na maadili na nidhamu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleAUDIO Paul Clement – In You MP3 DOWNLOAD
    Next Article HAZARD ANAAMINI MESSI NDIO MPIGA CHENGA ZAIDI KULIKO YEYE

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.