HomeKITAIFASELEMANI MWALIMU AWASILI TANZANIA KUJIUNGA RASMI NA SIMBA

SELEMANI MWALIMU AWASILI TANZANIA KUJIUNGA RASMI NA SIMBA

Mshambuliaji mpya wa Timu ya Taifa Stars Suleman Mwalimu amewasili jijini Dar es salaam kukamilisha taratibu za kujiunga na klabu ya Simba kwa mkopo wa mwaka mmoja akitokea Wydad Athletic.

Mwalimu ambaye alikiwasha ligi kuu Tanzania bara akiwa na Singida BS na Fountain Gate atasalia jijini Dar es akiendelea na mazoezini binafsi mpaka pale kikosi cha Simba kitakaporejea nchini kutoka Misri kilipoweka kambi ya maandalizi ya msimu mpya.

Simba itarejea Alhamisi ya Agosti 28 baada ya kukamilisha wiki nne za mazoezi katika kambi waliyokuwa wameiweka Ismailia na Cairo Nchini Misri.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE