Yanga Africa sio tu wanaongeza Technicall Quality wanaendelea Kupunguza pia Umri wa Midfield Yao Kuelekea Msimu Mpya..✍️ Out Khalid Aucho (32) In Moussa Balla Conte (21)…
Browsing: KITAIFA
LASSINE Kouma kapewa jezi namba 8 ambayo iliwahi kuvaliwa na mastaa wakubwa katika kikosi hicho akiwemo Haruna Niyonzima kiungo aliyekuwa anafanya watu wadhani mpira ni kazi…
DILI la kiungo wa Azam FC Feisal Salum kuibukia ndani ya kikosi cha Simba SC ni gumu kutokana na mkataba wake uliobaki na gharama za uhamisho…
Cv ya Romain Folz Kocha Mpya wa Yanga 2025/2026 Timu ya Wananchi Yanga SC leo, Jumatano Julai 23, 2025, wamemtangaza rasmi kocha mpya ambaye amekabidhiwa jukumu…
Klabu ya Simba inatajwa kumalizana na beki wa kati wa klabu ya Mamelodi Sundowns aliyekuwa anakipiga kwa mkopo Maccabi Petah Tikva ya ligi kuu ya Israel…
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amethibitisha tetesi zilizoshika kasi siku ya jana kuhusu mshambuliaji wa Singida Black Stars Jonathan Sowah kutua…
Klabu ya Simba inaripotiwa kuwa kwenye mazungumzo na kiungo mshambuliaji wa klabu ya Mamelodi Sundowns Neo Maema ili kupata huduma yake kwa mkopo kuanzia msimu ujao.…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿 Dkt. Samia Suluhu Hassan atatoa kiasi cha shilingi Bilioni 1 Endapo Tanzania ‘Taifa Stars’ itabeba ubingwa wa mashindano…
Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast, Pacome Zouzoua,inasemekana ameshasaini mkataba mpya na klabu ya Yanga SC siku nyingi zilizopita, muda mfupi tu baada ya fainali ya Kombe…
Katika kipindi hiki cha dirisha kubwa la usajili, habari kuhusu wachezaji wakuu na usajili wao huwa kivutio cha umma. Miongoni mwao ni Ellie Mpanzu, kiungo mahiri…