Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป SIMBA KUMSHUSHA BEKI WA MAMELODI SUNDOWNS RUSHINE DE REUCK
    KITAIFA

    SIMBA KUMSHUSHA BEKI WA MAMELODI SUNDOWNS RUSHINE DE REUCK

    ChikaoBy ChikaoJuly 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    simba
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Klabu ya Simba inatajwa kumalizana na beki wa kati wa klabu ya Mamelodi Sundowns aliyekuwa anakipiga kwa mkopo Maccabi Petah Tikva ya ligi kuu ya Israel Rushine De Reuck mwenye umri wa miaka 29.

    Tetesi zinasema nyota huyo anajiunga na wekundu wa msimbazi Simba kwa mkopo wa mwaka mmoja baada ya mkopo wake ndani ya Maccabi kutamatika.

    Nyota huyo aliyecheza mechi 4 pekee katika ligi kuu ya Israel kutokana na machafuko yaliyokuwa yanaendelea Nchini humo taarifa zinasema kuwa na chaguo la kocha Fadlu kwa ajili ya kuimarisha safu yake ya ulinzi.

    Rushine ambaye ni raia wa Afrika Kusini ameshawahi kutwaa tuzo ya beki bora wa ligi kuu ya Afrika Kusini kabla ya kujiunga na klabu ya Mamelodi Sundowns.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleFRIJI LA AHMED ALLY LIMEGOMA KUGANDISHA, JONATHAN SOWAH NI MNYAMA
    Next Article MAGAZETI YA MICHEZO LEO JUMAMOSI TAREHE 26-7-2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.