Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA
    KITAIFA

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    ChikaoBy ChikaoMarch 24, 202601 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Mpanzu
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Mshambuliaji wa klabu ya Simba Elie Mpanzu amefunguka sababu iliyomfanya aongeze mkataba wa kuitumikia klabu yake ya sasa akiweka wazi ni kutokana na upendo alioupata kwa wanasimba kipindi anapitia nyakati ngumu.

    “Nikiwa na machozi machoni mwangu ninawaandikia, wapenzi mashabiki wa Simba. Ninyi ndio wafuasi bora zaidi ambao nimewahi kukutana nao. Nataka kuwashukuru kutoka moyoni mwangu kwa msaada wenu usioyumba, licha ya nyakati ngumu ambazo nimepitia. Mmekuwa mkiniamini kila wakati,

    “N kutokana na maombi yenu, simu, ujumbe, kutia moyo kwenu, na ushauri wenu kwamba ninaanza kurudi kwenye mstari. Ndiyo maana nimeamua kutowasaliti na kuendelea na klabu. Ninawapenda nyote sana na ninawaahidi mambo mema katika siku zijazo”. Ameandika Elie Mpanzu.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleUAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    Related Posts

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.