Je ni nani mchezaji wako bora kwenye wafungaji bora timu za Taifa hapa Afrika. Wachezaji kibao wanaendelea kuweka rekodi zao huku wengine wakiendelea kuzifukuzia rekodi hizo.…
Author: Chikao
Kikosi Kamili cha Yanga 2025/26 | Wachezaji Wote wa Yanga Licha ya kuibuka na mafanikio makubwa katika msimu wa 2024/2025, timu ya wananchi Young Africans SC…
Pata wakati wa kupitia vichwa vya habari kutoka katika magazeti ya leo tarehe 10 Septemba 2025 na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari. PITIA VICHWA…
Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Fadlu Davids amesema msimu huu ni wa kushinda makombe baada ya msimu uliopita kutengeneza kikosi chake kwa kiasi kikubwa. Akizungumza…
Beki wa kati Vedastus Masinde amejiunga rasmi na klabu ya Simba kuwa mchezaji wao mpya akitokea klabu ya TMA ya Championship kwa mkataba wa miaka 2.…
Timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’ imeendelea kuweka hai matumaini ya kufuzu kombe la Dunia 2026 (WC 2026) baada ya kushinda mechi yake ya pili…
Kinda wa Klabu ya Ajax, Aaron Bouwman anaripotiwa kuvivutia vilabu vikubwa duniani. Kwa mujibu wa taarifa, kinda huyo mwenye umri wa miaka 18 anafuatiliwa na Chelsea,…
Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi wa Simba, Crecentius Magori, amesema yeye na wenzake wanakwenda kurudisha heshima ya klabu hiyo nchini na kuendelea kuwa ya kutisha…
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa rai kwa wanamichezo kufanya uchunguzi wa afya zao kwa kuhusisha vipimo vyote muhimu ikiwemo…
Kuelekea maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi, Klabu ya Yanga imetangaza kuwa siku ya Jumanne katika Makao Makuu yake yaliyopo Jangwani kutafanyika zoezi la uchangiaji damu salama…