Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » WANANCHI KUNYWA SUPU JANGWANI SIKU YA KESHO TAREHE 09-09-2025
    KITAIFA

    WANANCHI KUNYWA SUPU JANGWANI SIKU YA KESHO TAREHE 09-09-2025

    ChikaoBy ChikaoSeptember 8, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    wananchi
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Kuelekea maadhimisho ya Wiki ya Mwananchi, Klabu ya Yanga imetangaza kuwa siku ya Jumanne katika Makao Makuu yake yaliyopo Jangwani kutafanyika zoezi la uchangiaji damu salama kwa lengo la kusaidia watu wenye changamoto ya upungufu wa damu.

    Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga, Ally Kamwe, alisema shughuli hiyo itakuwa na umuhimu mkubwa kwa jamii kwani itagusa maisha ya watu wengi wanaohitaji damu hospitalini.

    “Tutakuwa na mambo mawili. Moja ni kuchangia damu salama kuelekea Wiki ya Mwananchi kwa ajili ya kusaidia kundi kubwa la watu wenye changamoto ya ukosefu wa damu,” alisema Kamwe.

    Aidha, alibainisha kuwa washiriki wote watakaojitokeza katika zoezi hilo maalum watazawadiwa zawadi mbalimbali kama sehemu ya kuonyesha kuthamini mchango wao.

    Shughuli hiyo itahitimishwa kwa burudani ya pamoja ambapo washiriki na wageni wote watapata fursa ya kushiriki katika unywaji wa supu.

    Yanga SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleENG. HERSI AKATAA KUACHIA UONGOZI MPAKA AJENGE UWANJA WA YANGA
    Next Article DKT. BITEKO AHIMIZA WANAMICHEZO KUCHUNGUZA AFYA ZAO

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.