HomeKITAIFAFADLU AAHIDI MSIMU HUU MAKOMBE YOTE NI YA SIMBA

FADLU AAHIDI MSIMU HUU MAKOMBE YOTE NI YA SIMBA

Kocha Mkuu wa klabu ya Simba Fadlu Davids amesema msimu huu ni wa kushinda makombe baada ya msimu uliopita kutengeneza kikosi chake kwa kiasi kikubwa.

Akizungumza na waandishi wa habari kwa ajili ya maandalizi ya tamasha la Simba Day siku ya kesho ambapo watacheza mechi ya Kimataifa ya kirafiki dhidi ya Gormahia Fadlu ameonekana kufurahishwa na usajili mkubwa walioufanya.

“Simba SC msimu uliopita tulitengeneza Foundation ila msimu huu ni wa kushinda makombe dirisha la usajili limeshafungwa, nawaamini sana wachezaji wangu wote na nimefurahishwa na kikosi changu. Kama kocha nitafocus na kikosi hiki kutengeneza timu yenye ushindani msimu huu.”- Fadlu Davids.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE