JEAN Ahoua kiungo mshambuliaji namba moja wa Simba SC kwenye mtihani mwingine ndani ya kikosi hicho kinachonolewa na Kocha Mkuu, Fadlu Davids itakuwa Septemba 16 2025.…
Author: Chikao
Mohmaed Hussen Zimbwe Jr beki wa kushoto ndani ya kikosi cha Yanga SC kinachonolewa na Kocha Mkuu Romain Folz amesema kuwa anafurahia mapokezi makubwa aliyoyapata kutoka…
YANGA SC vs Simba SC wababe hawa wawili wanatarajiwa kuwa kwenye kazi ya kusaka ushindi ndani ya Uwanja Septemba 16 2025. Zimebaki siku tatu kwa watani…
Kocha wa Arsenal Mikel Arteta anasema mazungumzo ya kandarasi za Bukayo Saka na William Saliba yanakwenda vizuri. Wachezaji hao wawili muhimu wa Arsenal mikataba yao inategemewa…
Pep Guardiola amepinga madai ya kocha wa Liverpool Arne Slot kwamba mchezaji wake mpya Alexander Isak ya kwamba ndiye mshambuliaji bora zaidi duniani, huku akisema anamuweka…
Kila msimu wa mpira wa miguu unapokaribia kuanza nchini Tanzania, macho na masikio ya mashabiki huzamia kwenye matamasha mawili makubwa Simba Day na Yanga Day (Siku…
Kocha wa Simba SC ameweka wazi msimamo na mikakati ya kikosi chake kuelekea mchezo muhimu wa ngao ya jamii dhidi ya Young Africans (Yanga). Akizungumza baada…
Mchezaji wa zamani Nigeria Mikêl Obi ameunga mkono suala la nyota wa zamani wa taifa hilo Jay Jay Okocha kuhitaji kuwa Rais wa shirikisho la soka…
Pata wakati wa kupitia vichwa vya habari kutoka katika magazeti ya leo tarehe 13 Septemba 2025 na ujipatie nakala yako kwa undani wa habari.
Kiungo mshambuliaji wa Azam FC na timu ya Taifa ya Tanzania, Feisal Salum maarufu kama FeiToto, ameongeza kandarasi yake ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu mmoja…