JIUNGE KWENYE WHATSAPP CHANNEL YA SIMULIZI ZA SAUTI ZA WAKUBWA TU BONYEZA HAPA KUJIUNGA
Beki wa kati Vedastus Masinde amejiunga rasmi na klabu ya Simba kuwa mchezaji wao mpya akitokea klabu ya TMA ya Championship kwa mkataba wa miaka 2.
Masinde ambaye ni mchezaji wa mwisho kutambulishwa na Simba kuelekea msimu ujao ana umri wa miaka 19 na aliwahi kuichezea Biashara United kabla ya TMA.