HomeKITAIFASimba Yatia Fora, Yatoa Jezi Sawa na Bure

Simba Yatia Fora, Yatoa Jezi Sawa na Bure

Kuelekea katika Sikukuu za mwishoni mwa mwaka, Klabu ya Simba SC imefanya punguzo la Jezi zake za msimu wa 2025-2026 kutoka Sh. Elfu 45000 hadi Sh. Elfu 12000.

Punguzo hili ni kwa jezi zote zinazotumika katika michuano ya kimataifa na jezi za zinazotumika katika michuano ya hapa nyumbani.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE