HomeKITAIFANani kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA leo

Nani kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA leo

Washindi wa Tuzo za Mchezaji Bora za FIFA za mwaka 2025 watatangazwa usiku wa leo Jumanne, Desemba 16, mjini Doha, Qatar.

Washindi katika vipengele mbalimbali akiwemo Mchezaji Bora wa Kiume na Wanawake wanatarajiwa kutangazwa hivi karibuni.

Walioteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA wa Wanaume ni pamoja na Ousmane Dembélé, Achraf Hakimi, Harry Kane, na Kylian Mbappé.

Walioteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA wa Wanawake ni pamoja na Sandy Baltimore, Nathalie Bjorn, Aitana Bonmatí, na Lucy Bronze.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE