Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home » Nani kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA leo
    KITAIFA

    Nani kutwaa tuzo ya mchezaji bora wa FIFA leo

    ChikaoBy ChikaoDecember 16, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Washindi wa Tuzo za Mchezaji Bora za FIFA za mwaka 2025 watatangazwa usiku wa leo Jumanne, Desemba 16, mjini Doha, Qatar.

    Washindi katika vipengele mbalimbali akiwemo Mchezaji Bora wa Kiume na Wanawake wanatarajiwa kutangazwa hivi karibuni.

    Walioteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA wa Wanaume ni pamoja na Ousmane Dembélé, Achraf Hakimi, Harry Kane, na Kylian Mbappé.

    Walioteuliwa kuwa Mchezaji Bora wa FIFA wa Wanawake ni pamoja na Sandy Baltimore, Nathalie Bjorn, Aitana Bonmatí, na Lucy Bronze.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleHII HAPA HISTORIA YA AFCON, ILIYOBEBA MATUKIO MAKUBWA
    Next Article Simba Yatia Fora, Yatoa Jezi Sawa na Bure

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.