Home KITAIFA RAIS WA YANGA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE KIGAMBONI

RAIS WA YANGA ACHUKUA FOMU YA UBUNGE KIGAMBONI

23
0
Hersi

Rais wa Yanga SC, Mkandarasi Hersi Said amechukua Fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Kigamboni lililopo Jijini Dar es Salaam.

Hersi mwenye ushawishi mkubwa katika masuala ya soka amechukua fomu hiyo leo kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM).

Ikumbukwe Jimbo hilo liliondokewa na aliyekuwa Mbunge wake Faustine Ndugulile aliyefariki dunia mwanzoni mwa mwaka huu alipokuwa nchini India kwa ajili ya matibabu.

Advertisement

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here