Home KITAIFA DROO YA KOMBE LA DUNIA KUFANYIKA DISEMBA 5 NCHINI MAREKANI

DROO YA KOMBE LA DUNIA KUFANYIKA DISEMBA 5 NCHINI MAREKANI

153
0
Kombe la Dunia

Droo ya makundi ya Kombe la Dunia 2026 imepangwa kufanyika tarehe 5 Disemba 2025 katika Kituo cha Kennedy, Washington DC Nchini Marekani.

Mashindano hayo yanayofanyika mara ya 23 yataandaliwa kwa mara ya kwanza na mataifa matatu ambayo ni Marekani,Mexico na Canada 🇨🇦, yakihusisha timu 48 kwa mara ya kwanza katika historia.

Michuano hiyo itaanza kutimua vumbi rasmi Juni 11 hadi julai 19 mwaka 2026.

Advertisement

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here