Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป DROO YA KOMBE LA DUNIA KUFANYIKA DISEMBA 5 NCHINI MAREKANI
    KITAIFA

    DROO YA KOMBE LA DUNIA KUFANYIKA DISEMBA 5 NCHINI MAREKANI

    ChikaoBy ChikaoAugust 24, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Kombe la Dunia
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    Droo ya makundi ya Kombe la Dunia 2026 imepangwa kufanyika tarehe 5 Disemba 2025 katika Kituo cha Kennedy, Washington DC Nchini Marekani.

    Mashindano hayo yanayofanyika mara ya 23 yataandaliwa kwa mara ya kwanza na mataifa matatu ambayo ni Marekani,Mexico na Canada ๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฆ, yakihusisha timu 48 kwa mara ya kwanza katika historia.

    Michuano hiyo itaanza kutimua vumbi rasmi Juni 11 hadi julai 19 mwaka 2026.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleGuardiola na vijana wake wachezea kichapo wakiwa nyumbani.
    Next Article PITIA MAGAZETI YA MICHEZO LEO TAREHE 25 AGOSTI 2025

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.