Klabu ya Manchester City imepoteza mchezo wa ligi kuu ya Uingereza wakiwa nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa magoli 2-0.
Magoli ya Spurs yamefungwa na Brennan Johnson pamoja na Jao Palhina katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo

Klabu ya Manchester City imepoteza mchezo wa ligi kuu ya Uingereza wakiwa nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa magoli 2-0.
Magoli ya Spurs yamefungwa na Brennan Johnson pamoja na Jao Palhina katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo
Our website uses cookies to improve your experience. Learn more about: cookie policy
Leave a Reply