Home KITAIFA Guardiola na vijana wake wachezea kichapo wakiwa nyumbani. KITAIFA Guardiola na vijana wake wachezea kichapo wakiwa nyumbani. By Chikao - August 24, 2025 112 0 FacebookTwitterPinterestWhatsApp Klabu ya Manchester City imepoteza mchezo wa ligi kuu ya Uingereza wakiwa nyumbani dhidi ya Tottenham Hotspur kwa magoli 2-0. Magoli ya Spurs yamefungwa na Brennan Johnson pamoja na Jao Palhina katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo