Home KIMATAIFA LEO NI VITA YA SAMATTA NA POGBA KATIKA LIGI YA UFARANSA

LEO NI VITA YA SAMATTA NA POGBA KATIKA LIGI YA UFARANSA

231
0

Nahodha wa Timu ya Taifa ya Tanzania Mbwana Ally Samatta anatarajia kucheza mechi yake ya kwanza kwenye Ligi Kuu Ufaransa wakati klabu yake ya Le Havre itapokutana na AS Monaco.

Samatta  siku ya leo endapo akipata nafasi ya kuitumikia timu yake atakuwa mchezaji wa kwanza kutoka Tanzania kukiwasha katika ligi hiyo akicheza dhidi ya nyota wa zamani wa Man U na Barcelona Paul Pogba na Ansu Fati wanaoitumikia As Monaco kwa sasa.

Advertisement

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here