Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, UKWELI WOTE HUU HAPA
    KITAIFA

    JONATHAN SOWAH KUIKOSA KARIAKOO DABI, UKWELI WOTE HUU HAPA

    ChikaoBy ChikaoAugust 25, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Sowah
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    MSHAMBULIAJI mpya wa Simba SC raia wa Ghana, Jonathan Sowah anatarajiwa kuukosa mchezo wa Kariakoo Dabi dhidi ya Yanga SC utakaopigwa Septemba 16 2025, mwaka huu kwenye Uwanja wa Mkapa Jijini Dar es Salaam.

    Mchezo huo wa Ngao ya Jamii ni maalumu kwa ajili ya kufungua msimu mpya wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo ni namba nne kwa ubora Afrika.

    Mshambuliaji huyo mpya Sowah hatocheza kutokana na kutumikia adhabu ya kadi nyekundu baada ya kuonyeshwa kadi mbili za njano kwenye fainali dhidi ya Yanga SC.

    Sowah alipata kadi hiyo nyekundu katika mchezo wa Fainali ya Kombe la CRDB ambao ulipigwa kwenye Uwanja wa New Amaan, Zanzibar akiwa anaichezea Singida Black Stars kabla ya kutambulishwa Simba SC kuwa ingizo jipya na yupo na timu kambini Misri.

    Taarifa zinaeleza kuwa kiungo mshambuliaji mpya wa Simba SC, Neo Maema ambaye alitambulishwa Simba SC Agosti 21 2025 akitokea Mamelod Sundowns huenda akabeba mikoba yake kwenye mchezo huo.

    Simba SC
    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleYANGA SC YAANZA KUISOMA SIMBA SC KUELEKEA KARIAKOO DABI
    Next Article BUKAYO SAKA KUKAA NJE YA UWANJA WIKI NNE SABABU YA MAJERAHA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.