HomeKITAIFAJKT Queens njia nyeupe kufuzu CAF Women Champions League

JKT Queens njia nyeupe kufuzu CAF Women Champions League

Mabingwa wa ligi kuu wanawake Tanzania, JKT Queens wanaowakilisha Tanzania kwenye michuano rasmi ya kimataifa wamepangwa kundi C kwenye michuano ya kuwania kufuzu michuano ya ligi ya Mabingwa Afrika ukanda wa CECAFA.

JKT wamepangwa kundi C wakiwa na timu za Yei Joint Stars Fc ya Sudan Kusini na JKU Princesses FC ya Zanzibar.

Makundi mengine ni haya hapa chini

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE