Home KITAIFA JKT Queens njia nyeupe kufuzu CAF Women Champions League

JKT Queens njia nyeupe kufuzu CAF Women Champions League

30
0

Mabingwa wa ligi kuu wanawake Tanzania, JKT Queens wanaowakilisha Tanzania kwenye michuano rasmi ya kimataifa wamepangwa kundi C kwenye michuano ya kuwania kufuzu michuano ya ligi ya Mabingwa Afrika ukanda wa CECAFA.

JKT wamepangwa kundi C wakiwa na timu za Yei Joint Stars Fc ya Sudan Kusini na JKU Princesses FC ya Zanzibar.

Makundi mengine ni haya hapa chini

Advertisement

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here