Close Menu
    Facebook X (Twitter) Instagram
    Facebook X (Twitter) Instagram
    SOKALEO
    • HOME
    • KITAIFA
    • KIMATAIFA
    • TETESI ZA SOKA
    • MAGAZETI YA LEO
    • FORUM
    • BOXING
    SOKALEO
    Home ยป ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA
    KITAIFA

    ZIMBWE JR NI NJANO NA KIJANI, SIMBA SC YAKATA TAMAA

    ChikaoBy ChikaoJuly 20, 202501 Min Read
    Share Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    zimbwe
    Share
    WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email

    NAHODHA wa Simba SC, Mohamed Hussen msimu wa 2024/25 kuna uwezekano mkubwa akaibukia ndani ya kikosi cha Yanga SC akiwa ni mchezaji huru.

    Ikumbukwe kwamba Zimbwe aliongeza mkataba wa miaka miwili kuitumikia Simba SC mwaka 2023 tayari 2025 umefikika tamati Julai 10 2025 hivyo kwa sasa mchezaji huyo ni huru.

    Julai 19 2025, Zimbwe Jr aliandika ujumbe wa kuwashukuru Simba SC akiwaaga mashabiki na wachezaji aliokuwa nao ndani ya kikosi cha Simba SC.

    Kuna asilimia kubwa Zimbwe Jr akatambulishwa ndani ya Yanga SC akiwa ni mchezaji huru kwa kuwa taarifa zinaeleza kuwa wamefikia hatua nzuri kwenye mazungumzo.

    Rekodi zinaonyesha kuwa msimu wa 2024/25 ndani ya ligi, Zimbwe alicheza mechi 27 kati ya 30 akikosekana kwenye mechi tatu na alifunga bao moja kwenye mchezo dhidi ya Coastal Union uliochezwa Uwanja wa KMC Complex.

    Hivi karibuni Ahmed Ally, Meneja wa Idara ya Habari na Mawasiliano Simba SC aliweka wazi kuwa mkataba wa mchezaji huyo umeisha na hajaongeza mkataba. Kitakachotokea itakuwa ni maslahi ya pande zote mbili.

    Share. Facebook Twitter Pinterest LinkedIn Tumblr Email
    Previous ArticleTETESI: KAPOMBE BADO YUPO SANA SIMBA, AMWAGA WINGO UPYA
    Next Article CHE MALONE KUTIMKIA LIGI KUU YA ALGERIA

    Related Posts

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    March 24, 2026

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    March 24, 2026

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    March 24, 2026
    Add A Comment
    Leave A Reply Cancel Reply

    LATEST POSTS

    HII HAPA SABABU KUBWA YA MPANZU KUTO WASALITI SIMBA

    UAMUZI WA KIUFUNDI WAMUWEKA MPANZU SIMBA

    DIARRA AWEKA REKODI, AMUACHA MBALI KIPA WA SIMBA

    Yanga Yamrudisha Kocha Abdihamid Moalin Kuinua Kiwango cha Timu

    Zidane Kurithi Mikoba ya Deschamps Ufaransa Baada ya Kombe la Dunia 2026

    Katibu wa Senegal asema Kombe halitaondoka Nchini kwao.

    FIFA YAPITISHA SHERIA MPYA 6 KUELEKEA KOMBE LA DUNIA 2026

    © 2026 SOKALEO TANZANIA | All Rights Are Reserved

    Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.