Share WhatsApp Facebook Telegram Twitter Pinterest Email Klabu ya Simba Sc imethibitisha kumtoa kwa mkopo kiungo Omary Omary kwenda kuitumikia Mashujaa Fc kwa msimu ujao wa 2025/26. Omary anarejea Mashujaa Fc takribani mwaka mmoja tangu ajiunge na Mnyama mnamo Juni 22, 2024. Simba SC