Habari mwanafamilia wa SokaLeo Pitia Kurasa za Magazeti ya michezo leo Jumamosi ya July 26, 2025
Author: Chikao
Klabu ya Simba inatajwa kumalizana na beki wa kati wa klabu ya Mamelodi Sundowns aliyekuwa anakipiga kwa mkopo Maccabi Petah Tikva ya ligi kuu ya Israel…
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Simba Ahmed Ally amethibitisha tetesi zilizoshika kasi siku ya jana kuhusu mshambuliaji wa Singida Black Stars Jonathan Sowah kutua…
Klabu ya Simba inaripotiwa kuwa kwenye mazungumzo na kiungo mshambuliaji wa klabu ya Mamelodi Sundowns Neo Maema ili kupata huduma yake kwa mkopo kuanzia msimu ujao.…
Gwiji wa mchezo wa mieleka Duniani raia wa Marekani Terry Gene Bollea maarufu Hulk Hogan amefariki dunia siku ya leo kiwa nyumbani kwake Florida Nchini Marekani…
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 🇹🇿 Dkt. Samia Suluhu Hassan atatoa kiasi cha shilingi Bilioni 1 Endapo Tanzania ‘Taifa Stars’ itabeba ubingwa wa mashindano…
Kiungo mahiri kutoka Ivory Coast, Pacome Zouzoua,inasemekana ameshasaini mkataba mpya na klabu ya Yanga SC siku nyingi zilizopita, muda mfupi tu baada ya fainali ya Kombe…
Habari mwanafamilia wa SokaLeo Pitia Kurasa za Magazeti ya michezo leo Ijumaa ya July 25, 2025
Rashford Kuvaa Jezi Namba 14 Barcelona Marcus Rashford rasmi atangazwa kuwa mchezaji wa Barcelona baada ya kukamilisha uhamisho wa mkopo kutoka Manchester United. Nyota huyo wa…
Katika kipindi hiki cha dirisha kubwa la usajili, habari kuhusu wachezaji wakuu na usajili wao huwa kivutio cha umma. Miongoni mwao ni Ellie Mpanzu, kiungo mahiri…