HomeKIMATAIFAGwiji wa mieleka Duniani Hulk Hogan afariki Dunia.

Gwiji wa mieleka Duniani Hulk Hogan afariki Dunia.

Gwiji wa mchezo wa mieleka Duniani raia wa Marekani Terry Gene Bollea maarufu Hulk Hogan amefariki dunia siku ya leo kiwa nyumbani kwake Florida Nchini Marekani baada ya kupata mshuituko wa moyo.

Shirika kubwa la Mieleka Duniani WWE limethibitisha taarifa ya kifo cha mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 71 na kumwelezea  kama sura ya zama za dhahabu katika mieleka aliyekuwa na mchango mkubwa na usiofutika katika tasnia hiyo.

RELATED ARTICLES

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here

Most Popular

Recent Comments

Web Development Company in Kochi,Kerala on NEYMAR AMWAGA MACHOZI AKIKUTANA NA KIPIGO KIKUBWA ZAIDI KWAKE