Home KIMATAIFA Gwiji wa mieleka Duniani Hulk Hogan afariki Dunia.

Gwiji wa mieleka Duniani Hulk Hogan afariki Dunia.

11
0
Hulk Hogan

Gwiji wa mchezo wa mieleka Duniani raia wa Marekani Terry Gene Bollea maarufu Hulk Hogan amefariki dunia siku ya leo kiwa nyumbani kwake Florida Nchini Marekani baada ya kupata mshuituko wa moyo.

Shirika kubwa la Mieleka Duniani WWE limethibitisha taarifa ya kifo cha mkongwe huyo mwenye umri wa miaka 71 na kumwelezea  kama sura ya zama za dhahabu katika mieleka aliyekuwa na mchango mkubwa na usiofutika katika tasnia hiyo.

LEAVE A REPLY

Please enter your comment!
Please enter your name here